Ufunua Wa Yohana 9:15

Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Basi wakafunguliwa wale malaika wanne waliokuwa wamewekwa tayari kwa ajili ya saa hiyo, na siku hiyo na mwezi huo na mwaka huo, wawaue theluthi moja ya wanadamu.