Ufunua Wa Yohana 3:14

Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
“Kwa malaika wa kanisa la Laodikia andika hivi: ‘Haya ni maneno yake yeye aitwaye Amina, shahidi mwaminifu na wa kweli, mtawala wa vyote alivyoumba Mungu.