Ufunua Wa Yohana 18:8

Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Hivyo ndivyo maafa yatakavyomjia kwa siku moja; tauni na msiba na njaa, naye atachomwa kwa moto; kwa maana amhukumuye ni Bwana Mungu mwenye uweza.