Ufunua Wa Yohana 18:7

Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Kama yeye alivyojitukuza kwa uasherati wake, mpe mateso na maombolezo kwa kipimo hicho hicho. Kwa kuwa kama ase mavyo moyoni mwake, ‘Mimi naketi kama malkia, si mjane wala sita pata msiba kamwe.’