Marko 2:12

Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Yule mtu aliyekuwa amepooza akainuka, akachukua kitanda chake akatembea mbele yao wote! Tukio hili likawashangaza watu wote, wakamsifu Mungu, wakasema, “Hatujapata kuona jambo kama hili kamwe!”

Yesu Amwita Mathayo