Marko 12:34

Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Yesu alipoona jinsi alivyojibu kwa busara, akamwambia, “Wewe hauko mbali na Ufalme wa Mungu.” Tangu wakati huo, hakuna mtu aliyethubutu kumwuliza maswali zaidi.

Kuhusu Mwana Wa Daudi