Warumi 14:15

Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Kama ndugu yako anahu zunishwa kwa sababu ya kile unachokula, basi huenendi tena katika upendo. Usiruhusu kile unachokula kiwe sababu ya kumwangamiza ndugu yako ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake.