Waebrania 9:10

Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Hizi zilikuwa ni sheria zinazohusu chakula na vinywaji na taratibu mbalimbali za utakaso wa nje, kanuni ambazo zingetumika mpaka wakati wa matayarisho ya utaratibu mpya.

Damu Ya Kristo Husafisha Dhamiri