Ufunua Wa Yohana 16:19

Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Ule mji mkuu uligawanywa katika sehemu tatu na miji yote ya mataifa ikaanguka. Mungu akakumbuka Babiloni kuu akainywesha kikombe cha divai ya hasira na ghadhabu yake.