Ufunua Wa Yohana 14:8

Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Malaika wa pili akafuata akisema, “Babiloni umeanguka! Babiloni mkuu umeanguka, ule mji mkuu ambao uliwanywesha mataifa yote divai yake, divai kali ya uzinzi wake.”