Matendo Ya Mitume 13:10

Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
akamwambia, “Wewe mwana wa Shetani! Wewe ni adui wa kila kilicho haki! Umejaa hila, na uovu. Je, utaacha lini kujaribu kugeuza kweli ya Bwana kuwa uongo?