Matayo 9:17

Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Wala watu hawahifadhi divai mpya kwenye viriba vikuukuu; wakifanya hivyo, viriba vitapasuka na divai itamwagika. Lakini divai mpya huwekwa katika viriba vipya na kwa njia hiyo divai na viriba husalimika.”

Yesu Amponya Mwanamke Aliyetokwa Damu