2 Wakorintho 7:1

Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Kwa kuwa tumepewa ahadi hizi wapendwa, basi tujitakase kutokana na kila aina ya uchafu wa mwili na roho, na tufanye bidii kufikia ukamilifu kwa kuwa tunamcha Mungu.

Furaha Ya Paulo