1 Yohana 4:6

Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Sisi ni wa Mungu. Anayemjua Mungu hutusikiliza, lakini asiye wa Mungu hatusikilizi. Na hivi ndivyo tunaweza kutambua kati ya Roho wa kweli na roho wa uongo.

Mungu Ni Upendo